Rais mtaka Waziri Muhongo kujitafakari na kuchukua hatua kutokana na kushindwa kusimamia baadhi ya idara katika wizara yake na hivyo kuruhusu mchanga wa madini kusafirishwa nje ya Nchi huku serikali ikikosa mapato kutokana na kile alicho sema baadhi ya watumishi kushindwa kutimiza kwa maksudi au kwa kuto kujua.
Kwa Taarifa mbalimbali za Kitaifa Kimataifa Michezo na Burudani tembelea shemsangablogs
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Katibu Tawala Msaidizi wa Mkoa wa Pwani Shangwe Twamala akikagua baadhi ya bidhazaa za wajasiliamali wanawake waliohudhuria katika mkut...
-
Baba yake mzazi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Meneja wake, Jahz Zamba, ameiambia Bongo5 kuwa Mzee Damian amefariki dunia baada ...
-
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison G. Mwakyembe (Mb), Jana tarehe 03 Mei, 2017 amekuwa mgeni rasmi kweny...
No comments:
Post a Comment