Katibu Tawala Msaidizi wa Mkoa wa Pwani Shangwe Twamala akikagua baadhi ya bidhazaa za wajasiliamali wanawake waliohudhuria katika mkutano maalumu wa uzinduzi wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Mkoa wa Pwani.
mkutano huo unafanyika leo katika ukumbi ulipo katika Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Pwani huku kukiwa na wadau mbalimbali wa kibiashara ambao wamehudhuria mkutano huo kama vile NSSF, NMB, SIDO, TFDA, na TBS taarifa zaidi zitawajia (Picha na Joseph chiwale)
Kwa Taarifa mbalimbali za Kitaifa Kimataifa Michezo na Burudani tembelea shemsangablogs
Tuesday, 18 April 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Katibu Tawala Msaidizi wa Mkoa wa Pwani Shangwe Twamala akikagua baadhi ya bidhazaa za wajasiliamali wanawake waliohudhuria katika mkut...
-
Baba yake mzazi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Meneja wake, Jahz Zamba, ameiambia Bongo5 kuwa Mzee Damian amefariki dunia baada ...
-
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison G. Mwakyembe (Mb), Jana tarehe 03 Mei, 2017 amekuwa mgeni rasmi kweny...
No comments:
Post a Comment