Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Pwani Suzan Raymond mapema leo amekutana na
waandishi wa habari ofisini kwake kwa lengo la kutoa taarifa ya
utekelezaji wa taasisi hiyo kwa kipindi cha julai 2016 hadi march 2017.
Amesema Takukuru bado inaendele ana mapambano ya Rushwa na kwa sasa
mafanikio makubwa yanaonekana huku kukiwa na kesi 4 ambazo zinaendelea
kusikilizwa katika mahakama mbalimbali, aidha takukuru imefanikiwa
kupokea jumla ya malalamiko 363 kati ya hayo malalamiko 252 yanahusishwa
na rushwa na uchunguzi wake unaendelea huku malalamiko 98 hayahusiani
na vitendo vya rushwa. aidha kamanda wa takukuru mkoa a Pwani ameendelea
kuwaomba wakazi wa mkoa huo kuendelea kushirikiana na takukuru katika
kutoa taarifa zitakazo fanikisha kupatikana kwa watoa na wapokea rushwa.
Kwa Taarifa mbalimbali za Kitaifa Kimataifa Michezo na Burudani tembelea shemsangablogs
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Katibu Tawala Msaidizi wa Mkoa wa Pwani Shangwe Twamala akikagua baadhi ya bidhazaa za wajasiliamali wanawake waliohudhuria katika mkut...
-
Baba yake mzazi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Meneja wake, Jahz Zamba, ameiambia Bongo5 kuwa Mzee Damian amefariki dunia baada ...
-
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison G. Mwakyembe (Mb), Jana tarehe 03 Mei, 2017 amekuwa mgeni rasmi kweny...


No comments:
Post a Comment