Serikali imesema iko teyari kulipa madeni mbalimbali ya walimu lakini kwa sasa kinacho fanyika nikuendelea kupitia na kujiridhisha juu ya uhalali wa madeni ya walimu ambayo yamekuwa yakisema na chama cha walimu Tanzani CWT.
Hayo yamebaishwa na Waziri Mkuu Kassimu Mjaliwa wakati akijibu swali kutoka kwa wabunge wakati wa maswali ya papo kwa papo.
ameongeza kuwa serikali imejipanga vizuri kuhakikisha inalipa madeni hayo kila inapo malizika hatua ya uhakiki huku akiwataka walimu kuwa wavumilivu na kufanya kazi kwa bidii.
Kwa Taarifa mbalimbali za Kitaifa Kimataifa Michezo na Burudani tembelea shemsangablogs
Thursday, 20 April 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Katibu Tawala Msaidizi wa Mkoa wa Pwani Shangwe Twamala akikagua baadhi ya bidhazaa za wajasiliamali wanawake waliohudhuria katika mkut...
-
Baba yake mzazi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Meneja wake, Jahz Zamba, ameiambia Bongo5 kuwa Mzee Damian amefariki dunia baada ...
-
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison G. Mwakyembe (Mb), Jana tarehe 03 Mei, 2017 amekuwa mgeni rasmi kweny...

No comments:
Post a Comment